Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/="

Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.12,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA.

SIPENDAGI UJINGA MIMI NA BEI ZA TEKSI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Cheruiyot (Guest) on December 8, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 3, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Mallya (Guest) on November 28, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Chacha (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

James Malima (Guest) on October 27, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on October 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Linda Karimi (Guest) on October 13, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on September 29, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on September 26, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on September 19, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on August 25, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edward Chepkoech (Guest) on August 21, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 10, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on August 3, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on July 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Asha (Guest) on June 26, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on June 3, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on June 3, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bakari (Guest) on May 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Agnes Sumaye (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lucy Mushi (Guest) on May 11, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwanajuma (Guest) on April 16, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Betty Cheruiyot (Guest) on April 5, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on March 25, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on March 20, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on March 19, 2016

🀣πŸ”₯😊

Jackson Makori (Guest) on March 16, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 14, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on February 28, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on February 15, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Frank Sokoine (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fatuma (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on December 19, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on December 16, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Stephen Mushi (Guest) on November 16, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on September 18, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanais (Guest) on September 17, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on August 9, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Carol Nyakio (Guest) on August 3, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 24, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Anna Mchome (Guest) on July 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on July 16, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ahmed (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

John Mwangi (Guest) on July 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on May 25, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on May 3, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Minja (Guest) on April 29, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 23, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More