Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on April 27, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 23, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on March 22, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Samson Mahiga (Guest) on March 10, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on February 15, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on January 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on December 21, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Selemani (Guest) on December 10, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mwambui (Guest) on December 6, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on November 28, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on November 26, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Hawa (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Njoroge (Guest) on October 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 22, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on October 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Rehema (Guest) on September 26, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on September 21, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Majid (Guest) on September 14, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Francis Mrope (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Yusra (Guest) on August 29, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Mtangi (Guest) on August 16, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on July 27, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on July 1, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Mallya (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on May 30, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on April 30, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Moses Mwita (Guest) on March 6, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Wilson Ombati (Guest) on March 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 29, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Latifa (Guest) on January 20, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Malisa (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on January 11, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Arifa (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Peter Mugendi (Guest) on January 6, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on November 12, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwinyi (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mutheu (Guest) on October 26, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on October 2, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Michael Onyango (Guest) on August 25, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanais (Guest) on August 17, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Mutua (Guest) on August 3, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on July 30, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Kibwana (Guest) on July 27, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 19, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Sokoine (Guest) on June 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 19, 2015

🀣πŸ”₯😊

Saidi (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on April 12, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Maida (Guest) on April 6, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More