Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on October 29, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hekima (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthui (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on August 25, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 27, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on May 8, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rubea (Guest) on April 25, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Ochieng (Guest) on April 24, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on February 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on January 20, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on October 9, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on October 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joyce Mussa (Guest) on September 15, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on August 22, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Masika (Guest) on August 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

George Tenga (Guest) on July 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on June 27, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rukia (Guest) on May 23, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Baraka (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Njeri (Guest) on February 15, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Nancy Kawawa (Guest) on January 25, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Mchome (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Francis Mtangi (Guest) on November 17, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Mchome (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

George Ndungu (Guest) on September 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Violet Mumo (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on August 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine (Guest) on August 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Kawawa (Guest) on June 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Ramadhan (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Kikwete (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mazrui (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Mbise (Guest) on April 17, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More