Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chum (Guest) on December 19, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on November 18, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Amollo (Guest) on November 12, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Wanyama (Guest) on November 7, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Moses Mwita (Guest) on October 15, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Mashaka (Guest) on October 9, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Komba (Guest) on October 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on October 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on October 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on September 29, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 29, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nchi (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mariam (Guest) on September 23, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on August 25, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on August 3, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on August 1, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Amir (Guest) on July 21, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Wanyama (Guest) on June 29, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on June 5, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on May 14, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Aziza (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on April 16, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on March 27, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Jackson Makori (Guest) on March 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on February 28, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Halimah (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shabani (Guest) on February 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 21, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Issack (Guest) on October 19, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abubakar (Guest) on September 22, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on September 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Robert Okello (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Samson Mahiga (Guest) on September 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on August 27, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Henry Sokoine (Guest) on July 11, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 25, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Salum (Guest) on April 28, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Violet Mumo (Guest) on April 22, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jamal (Guest) on April 3, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Hassan (Guest) on January 22, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Samuel Omondi (Guest) on December 5, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 4, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Musyoka (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on September 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More