Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hashim (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jane Muthui (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on April 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Njeri (Guest) on February 27, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on February 19, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on February 18, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on January 30, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on November 20, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamal (Guest) on September 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Anthony Kariuki (Guest) on September 12, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Mjaka (Guest) on August 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joseph Kitine (Guest) on August 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 14, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 9, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Wairimu (Guest) on April 17, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 8, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Richard Mulwa (Guest) on April 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 24, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on March 8, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Omari (Guest) on March 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Omar (Guest) on February 14, 2023

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on February 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nassor (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Daudi (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Lowassa (Guest) on November 20, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Issack (Guest) on October 27, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Muslima (Guest) on October 26, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Victor Kimario (Guest) on October 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on October 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on May 15, 2022

😊🀣πŸ”₯

Linda Karimi (Guest) on April 2, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Yusuf (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Thomas Mtaki (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More