Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Featured Image

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture
2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation

3. Naitwa Emmanuel niko UDOM mwaka3 nasoma computer science
bas jamaa nae akainuka kwa kusuasua huku akijishtukia akasema"Naitwa Elisha niko Tanesco mwaka wa 7 nasoma mita"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Amollo (Guest) on June 23, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Malela (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on May 29, 2020

😊🀣πŸ”₯

David Kawawa (Guest) on April 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on March 30, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nchi (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on March 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jabir (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mustafa (Guest) on December 14, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Edith Cherotich (Guest) on October 19, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Josephine Nekesa (Guest) on September 10, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on September 3, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 15, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on July 16, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on April 27, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on April 3, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mchuma (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwanaidi (Guest) on March 20, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nora Lowassa (Guest) on March 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on February 22, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on February 12, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kijakazi (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Susan Wangari (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Otieno (Guest) on January 12, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 8, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 30, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Yusra (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on October 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on October 1, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on September 24, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on September 7, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on September 4, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Agnes Sumaye (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on July 26, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on May 26, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Juma (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Alex Nakitare (Guest) on April 23, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on April 14, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on March 20, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on March 11, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on February 4, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on January 26, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Cheruiyot (Guest) on January 25, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Azima (Guest) on January 21, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Masika (Guest) on January 20, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ndoto (Guest) on January 12, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on December 24, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 15, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Stephen Mushi (Guest) on November 8, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Related Posts

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More