Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze





4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Sumari (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Grace Wairimu (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on March 30, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on March 29, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lydia Mutheu (Guest) on March 19, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on January 23, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Monica Nyalandu (Guest) on December 7, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jaffar (Guest) on December 1, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Mashaka (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Umi (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Jebet (Guest) on October 14, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on October 3, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Wangui (Guest) on September 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on September 13, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 21, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 16, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Mligo (Guest) on July 27, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Irene Akoth (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on June 18, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Malecela (Guest) on May 2, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nyota (Guest) on March 31, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Anna Kibwana (Guest) on March 12, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on March 10, 2019

😊🀣πŸ”₯

Tabitha Okumu (Guest) on February 26, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 26, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Grace Wairimu (Guest) on January 11, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mwinyi (Guest) on December 19, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on December 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 30, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on September 26, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on September 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on September 10, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Chiku (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Kabura (Guest) on June 17, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Leila (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Edward Lowassa (Guest) on May 7, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Shabani (Guest) on May 4, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Janet Mbithe (Guest) on April 11, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Chacha (Guest) on March 3, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on February 25, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on February 24, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

James Kawawa (Guest) on February 6, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on January 15, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Lucy Mahiga (Guest) on January 9, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on January 3, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on November 11, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on October 27, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Aziza (Guest) on October 19, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on October 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rubea (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Binti (Guest) on September 27, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Related Posts

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More