Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on February 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rehema (Guest) on February 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Furaha (Guest) on January 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Masika (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kassim (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Mwalimu (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Kamande (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on August 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kimani (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maida (Guest) on June 28, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hekima (Guest) on June 28, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Mollel (Guest) on May 13, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Lowassa (Guest) on February 28, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Mwikali (Guest) on February 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 20, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on December 23, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jabir (Guest) on November 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on August 11, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ibrahim (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jamal (Guest) on July 14, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Masika (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanakhamis (Guest) on May 12, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 6, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on April 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rabia (Guest) on March 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwachumu (Guest) on March 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on February 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

George Mallya (Guest) on January 7, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zakaria (Guest) on December 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Mwangi (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on December 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on November 14, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 3, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More