Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zuhura (Guest) on September 2, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on July 31, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine (Guest) on July 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Abdullah (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nuru (Guest) on July 8, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on May 28, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 11, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharifa (Guest) on March 26, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on February 13, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumaye (Guest) on February 4, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Richard Mulwa (Guest) on January 14, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Khatib (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 1, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Salum (Guest) on December 11, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Fadhili (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

George Mallya (Guest) on October 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on September 22, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on September 9, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ali (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 10, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2020

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on April 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on April 12, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanais (Guest) on February 16, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on January 5, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on December 26, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ndoto (Guest) on December 22, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on December 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More