Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mutheu (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Agnes Lowassa (Guest) on June 17, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on June 12, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 11, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on May 9, 2024

🀣πŸ”₯😊

Anna Sumari (Guest) on April 23, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on March 16, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on February 18, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Otieno (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 12, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Hellen Nduta (Guest) on January 5, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on December 28, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 28, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Ochieng (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sumaya (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Raha (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zawadi (Guest) on October 7, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on October 4, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Yahya (Guest) on September 6, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mtangi (Guest) on July 10, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on June 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on May 3, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on April 25, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mchawi (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ali (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Henry Mollel (Guest) on February 12, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on February 9, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Linda Karimi (Guest) on February 1, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on January 10, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on January 4, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on December 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on December 13, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Margaret Anyango (Guest) on November 27, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Lowassa (Guest) on November 23, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Issa (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Lissu (Guest) on September 14, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on September 10, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on August 21, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on July 13, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 2, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on June 29, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on June 3, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on May 28, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on April 29, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Amina (Guest) on April 11, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Elizabeth Malima (Guest) on February 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mboje (Guest) on February 16, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on December 22, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sultan (Guest) on November 15, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Tibaijuka (Guest) on November 2, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salima (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

David Ochieng (Guest) on September 13, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Fredrick Mutiso (Guest) on August 28, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?