Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station

"Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…"

Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!?

John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joy Wacera (Guest) on November 13, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on October 22, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on August 20, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on July 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on June 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on June 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 5, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on May 12, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on March 16, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on March 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Muslima (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 11, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joy Wacera (Guest) on January 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on January 3, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 6, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Mwinuka (Guest) on October 28, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Musyoka (Guest) on August 27, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 18, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 24, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Sultan (Guest) on July 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on June 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 24, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on May 21, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on April 25, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on March 4, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Diana Mumbua (Guest) on March 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on February 25, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Maulid (Guest) on January 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on January 14, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on January 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Lucy Wangui (Guest) on January 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 10, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Zulekha (Guest) on November 7, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwanakhamis (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

James Mduma (Guest) on September 8, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on August 12, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on August 4, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on June 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on June 11, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More