Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edwin Ndambuki (Guest) on May 11, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Mallya (Guest) on May 6, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Amina (Guest) on April 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Nkya (Guest) on March 31, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on March 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on March 4, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on February 28, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on February 24, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on February 2, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on January 25, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on January 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 2, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on December 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mwikali (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on November 27, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on November 25, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Irene Akoth (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on October 17, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rahim (Guest) on October 1, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Raphael Okoth (Guest) on August 8, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ndoto (Guest) on August 4, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mugendi (Guest) on May 14, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Robert Okello (Guest) on May 12, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwafirika (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on March 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Maimuna (Guest) on February 5, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Mallya (Guest) on January 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on December 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 1, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mwanais (Guest) on November 21, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on November 12, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on November 5, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kahina (Guest) on November 4, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 6, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on August 30, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 27, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on June 7, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Akumu (Guest) on May 22, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on May 7, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 28, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Diana Mumbua (Guest) on March 23, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on March 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 14, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Wanjala (Guest) on March 12, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

George Mallya (Guest) on February 25, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More