Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.
Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??
Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO
Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.
Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโฆ
Mara blenda priiiiiโฆ juiceโฆ ama milk shakeโฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shakeโฆAnza kukuna naziโฆ
Chambua mnafuโฆ
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..
ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโฆ hahahaha kwenye frijiโฆ wala hatumi..
Hahaahhaโฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.
Mmiminie supuโฆ
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..
Muulize kuna chapatiโฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..
.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโฆHahahaha..
analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโฆ
Hahahahahahaโฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโฆ aogeโฆ
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..
Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโฆ
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha.. jamaniโฆ
Hahahahahaโฆ yani kwa raha ya supuโฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.
Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโฆ
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโฆ. hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโฆ
Wali maharage kama jeshi la j
Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024
๐ Nimeipenda kabisa hii!
Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024
๐ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024
๐๐ ๐๐
Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024
Hii ni kali sana! ๐๐คฃ
Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha! ๐๐
Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐๐คฃ
Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024
๐ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024
๐ Nilihitaji kicheko hicho!
Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024
Hizi jokes zinabamba sana! ๐๐
Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024
Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐๐
John Mushi (Guest) on February 9, 2024
Mna kipaji cha ucheshi! ๐๐
Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024
๐๐คฃ๐
Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐๐คฃ
Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐๐
Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023
๐ Hii ni dhahabu!
Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023
๐คฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Ramadhan (Guest) on October 28, 2023
๐ Hii imenigonga kweli!
Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023
๐ Hiyo punchline!
Tabu (Guest) on October 16, 2023
๐คฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Chiku (Guest) on September 19, 2023
๐ Hii ni ya kuhifadhi!
Fadhili (Guest) on September 4, 2023
๐ Bado nacheka!
Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023
Hii imenibamba sana! ๐๐
Robert Okello (Guest) on July 24, 2023
๐ Umeimaliza kabisa!
Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023
Nimefurahia sana hii! ๐ ๐
Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023
Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐คฃ๐
Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023
๐ Ninaihifadhi kwa baadaye!
Mashaka (Guest) on April 30, 2023
๐ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐๐
Zubeida (Guest) on April 19, 2023
๐คฃ Ninashiriki hii na kila mtu!
George Mallya (Guest) on April 7, 2023
๐ Nacheka hadi nalia!
Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023
๐ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023
๐๐
Aziza (Guest) on February 22, 2023
๐ Nitaiiba hii bila shaka!
Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023
Huyu alikuwa na point! ๐๐
Chris Okello (Guest) on February 2, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐๐คฃ
James Malima (Guest) on January 23, 2023
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐๐
Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023
๐ Hali imeboreshwa papo hapo!
Jaffar (Guest) on December 26, 2022
๐ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022
Nimecheka kwa sauti! ๐คฃ๐คฃ
Omari (Guest) on November 27, 2022
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! ๐
Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022
๐ Bado ninacheka!
John Kamande (Guest) on November 11, 2022
Kila siku napenda jokes zenu! ๐๐
Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐คฃ๐
Samuel Were (Guest) on October 26, 2022
๐๐๐๐
Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022
๐ Umeshinda mtandao leo!
Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022
Hii imenichekesha sana! ๐คฃ๐
Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022
Hii imenifurahisha sana! ๐คฃ๐
Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022
Hii ni ya kufurahisha sana! ๐๐
Shani (Guest) on August 31, 2022
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐ฐ
Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022
๐ Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022
๐๐คฃ๐๐
Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐๐
Shamsa (Guest) on August 2, 2022
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐
Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022
Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐๐
Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022
Hizi jokes ni za ukweli! ๐๐
Habiba (Guest) on July 31, 2022
๐ Kali sana!
Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ๐๐
Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐
Nyota (Guest) on June 30, 2022
๐ Siwezi kuacha kucheka!
Mgeni (Guest) on June 26, 2022
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐