Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Andrew Mahiga (Guest) on February 17, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Nkya (Guest) on February 11, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on January 7, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on November 17, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Latifa (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Betty Akinyi (Guest) on October 26, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Emily Chepngeno (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Susan Wangari (Guest) on October 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on September 27, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on August 19, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

James Malima (Guest) on July 28, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on July 21, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jafari (Guest) on July 21, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Mwalimu (Guest) on July 1, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on June 23, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on June 11, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jane Malecela (Guest) on May 23, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Leila (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Monica Nyalandu (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Victor Malima (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Monica Nyalandu (Guest) on April 4, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on April 4, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on April 1, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 3, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on March 1, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Margaret Mahiga (Guest) on February 19, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 29, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on January 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on December 17, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Anna Kibwana (Guest) on December 17, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Philip Nyaga (Guest) on December 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 20, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on November 13, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Wangui (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on September 30, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ali (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Mwalimu (Guest) on July 23, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on June 29, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on June 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on May 18, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on May 18, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Mahiga (Guest) on May 17, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on May 15, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on May 8, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Brian Karanja (Guest) on March 16, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on February 28, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on February 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Zakaria (Guest) on February 10, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on November 28, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on November 19, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on November 4, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on August 10, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Ochieng (Guest) on July 24, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More