Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona sisi tu tunakula nyama shemeji Gulo hagusi kabisa anaishia mchicha tu? Tabia gani hii?
LEVI: Hapana sijamkataza, ila shemeji yako Mngoni halagi nyama ya FISI kama sisi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on May 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on May 4, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on May 4, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Salma (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Chum (Guest) on April 17, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Alice Jebet (Guest) on April 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Arifa (Guest) on March 28, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Peter Mugendi (Guest) on March 21, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on February 27, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Yahya (Guest) on February 16, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on February 2, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Lydia Mutheu (Guest) on January 28, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on January 20, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Mtangi (Guest) on December 16, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Paul Ndomba (Guest) on November 9, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on November 8, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Mugendi (Guest) on September 25, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on September 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on August 9, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on July 31, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Athumani (Guest) on July 27, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Wafula (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on July 3, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 19, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine (Guest) on May 31, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 27, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 19, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Kimaro (Guest) on April 25, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 14, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sofia (Guest) on March 27, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 14, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on February 15, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Sokoine (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 20, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on January 16, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Salima (Guest) on January 12, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Kamau (Guest) on January 4, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Wafula (Guest) on January 3, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on December 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on October 30, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakari (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Paul Kamau (Guest) on September 25, 2020

🀣πŸ”₯😊

Grace Njuguna (Guest) on September 20, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 10, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on July 26, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mzee (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mchawi (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Martin Otieno (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sultan (Guest) on April 6, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on February 17, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 14, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
οΏ½... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More