Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Kamau (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Sumari (Guest) on December 17, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanais (Guest) on December 16, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Kawawa (Guest) on December 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on November 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on November 17, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Diana Mallya (Guest) on October 28, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on October 9, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on October 4, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on August 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on June 30, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 3, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 26, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on April 28, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on April 2, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Monica Lissu (Guest) on March 31, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on March 19, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mary Sokoine (Guest) on March 18, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 10, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on February 14, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Nyerere (Guest) on January 13, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Makena (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Amukowa (Guest) on January 6, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on December 17, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on December 2, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

James Kawawa (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on October 2, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on October 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shabani (Guest) on September 4, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Njeri (Guest) on August 1, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Henry Mollel (Guest) on April 16, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on March 18, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on March 9, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarah Karani (Guest) on March 5, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jafari (Guest) on March 4, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on February 22, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Mussa (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on December 29, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 21, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 11, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Malima (Guest) on October 13, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 8, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Bakari (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Anna Mahiga (Guest) on September 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More