Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu

SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakari (Guest) on July 5, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Simon Kiprono (Guest) on July 3, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on June 2, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 12, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nuru (Guest) on April 4, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on March 29, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mrope (Guest) on February 25, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on February 24, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamim (Guest) on February 24, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mushi (Guest) on February 4, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Zawadi (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2023

🀣πŸ”₯😊

Janet Mwikali (Guest) on November 17, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on August 3, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on June 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 3, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on April 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on April 9, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Paul Kamau (Guest) on March 9, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on January 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwajuma (Guest) on January 1, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Safiya (Guest) on December 12, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on December 5, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 27, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Furaha (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rabia (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthui (Guest) on October 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 21, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on September 28, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanahawa (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jaffar (Guest) on September 10, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Jane Malecela (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on August 22, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Azima (Guest) on July 28, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Nyerere (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Related Posts

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More