Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Featured Image
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa?
Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo?
Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
Mama: ndiyo atapaa kuelekea kijijini kwao kesho, pumbavu zake.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Njeri (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jaffar (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Mbithe (Guest) on March 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on March 24, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Selemani (Guest) on March 20, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on March 9, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 9, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Njeri (Guest) on October 30, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Frank Sokoine (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on October 12, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James Kawawa (Guest) on September 18, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Were (Guest) on September 1, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Biashara (Guest) on August 5, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on June 16, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on June 16, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on May 28, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on May 28, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Amollo (Guest) on May 23, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine Nduta (Guest) on May 2, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Shamsa (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Zakaria (Guest) on February 20, 2021

Asante Ackyshine

Joyce Mussa (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on November 19, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Minja (Guest) on November 10, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khatib (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on October 25, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hassan (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Francis Njeru (Guest) on September 24, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on September 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 8, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Akech (Guest) on September 7, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Wande (Guest) on August 24, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Irene Akoth (Guest) on August 22, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on August 5, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 1, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ibrahim (Guest) on June 18, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on May 7, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on April 29, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on April 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 20, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Mutua (Guest) on February 29, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mwanais (Guest) on January 28, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on January 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on January 10, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on December 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on November 28, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on November 21, 2019

😊🀣πŸ”₯

Benjamin Masanja (Guest) on November 16, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on November 10, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Njeri (Guest) on October 16, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More