Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Mallya (Guest) on July 7, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Baraka (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on May 25, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on May 21, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on February 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on January 15, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Amani (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on December 18, 2023

😊🀣πŸ”₯

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faiza (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on November 26, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Mushi (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lucy Wangui (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mariam Kawawa (Guest) on July 11, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 20, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 15, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on May 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mzee (Guest) on April 3, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanaidha (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Malela (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Biashara (Guest) on December 14, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Abdullah (Guest) on October 26, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Mrope (Guest) on October 18, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 6, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on August 26, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on July 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on July 8, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Baridi (Guest) on June 13, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Njeri (Guest) on June 11, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Lissu (Guest) on April 12, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fadhila (Guest) on April 10, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on April 3, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on March 25, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More