Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on June 20, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 3, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on January 14, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on December 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Diana Mumbua (Guest) on November 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on October 21, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 16, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on October 12, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Ali (Guest) on September 26, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on August 28, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shabani (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Kawawa (Guest) on June 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on May 24, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rabia (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yusra (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on March 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Mallya (Guest) on March 5, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on January 29, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Musyoka (Guest) on January 21, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joyce Mussa (Guest) on January 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on December 25, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jamila (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on November 11, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on October 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on September 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on September 13, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on August 17, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 4, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 25, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More