Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Fikiri (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Binti (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 5, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 3, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 28, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Frank Sokoine (Guest) on December 21, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on December 19, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 8, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yusuf (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on October 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on September 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 11, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on August 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Khatib (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on June 18, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on February 13, 2023

😊🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 7, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 19, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on November 29, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on November 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Omar (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on August 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 25, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on July 15, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

David Musyoka (Guest) on July 1, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shukuru (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on May 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on May 22, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on May 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Azima (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Mbise (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 9, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 27, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More