Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Nyalandu (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Guest (Guest) on July 17, 2025

Poa

Sultan (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on June 13, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Joy Wacera (Guest) on May 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on May 1, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on March 24, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on March 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 20, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wande (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on March 9, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on March 7, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on March 6, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Anna Kibwana (Guest) on March 3, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on March 2, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Kamande (Guest) on February 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on February 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 4, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on January 4, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on December 17, 2023

🀣πŸ”₯😊

David Sokoine (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on December 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 21, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on October 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on October 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on October 2, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on September 28, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on September 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 6, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 5, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on July 11, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mercy Atieno (Guest) on June 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on June 23, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on June 13, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on June 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Leila (Guest) on April 29, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salima (Guest) on April 28, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on April 13, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 6, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on April 3, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 18, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on March 14, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on February 19, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 13, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on February 4, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 27, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Related Posts

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More