Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini? . MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali . MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
238 Comments

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Featured Image

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la

Β 

236 Comments

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Featured Image
236 Comments

Upendo wa kweli ni nini?

Featured Image
236 Comments

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

Featured Image
239 Comments

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Featured Image
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
236 Comments

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

No Image
0 Comments

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image
236 Comments

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Β 

237 Comments

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image
236 Comments