Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 24, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rahim (Guest) on July 15, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nassar (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜† Kali sana!

George Ndungu (Guest) on June 16, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fadhili (Guest) on June 14, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Leila (Guest) on June 11, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on May 15, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Anthony Kariuki (Guest) on May 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on January 17, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on January 15, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 5, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nasra (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nora Lowassa (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on November 11, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 30, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on October 24, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on October 14, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 3, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mary Sokoine (Guest) on September 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 3, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ann Awino (Guest) on August 2, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 15, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on July 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Shani (Guest) on May 15, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Omar (Guest) on May 5, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Sokoine (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kitine (Guest) on March 16, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on March 7, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Mrope (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on January 3, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on December 20, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Jabir (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on December 1, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Njeri (Guest) on December 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on November 27, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Tenga (Guest) on November 8, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 19, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Charles Mrope (Guest) on September 16, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on August 3, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on June 1, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on May 17, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on March 30, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on February 27, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwanaidi (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More