Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on July 15, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on July 8, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jafari (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 1, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on June 30, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on June 28, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nekesa (Guest) on June 8, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Wafula (Guest) on May 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on May 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on April 14, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on March 8, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ahmed (Guest) on March 5, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nancy Kabura (Guest) on February 6, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on January 21, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nchi (Guest) on January 14, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on December 20, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Mushi (Guest) on December 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 12, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Diana Mumbua (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on September 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mhina (Guest) on September 12, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on September 4, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 14, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on July 28, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rashid (Guest) on July 19, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on July 11, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Njeri (Guest) on June 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on March 25, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on March 20, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 10, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on March 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on February 13, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on January 23, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on December 28, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nassor (Guest) on November 6, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Shamim (Guest) on October 29, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on October 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on October 7, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on September 12, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on September 3, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jane Muthui (Guest) on August 26, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Furaha (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on August 16, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on June 30, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Esther Nyambura (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More