Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Featured Image

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.
MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,

Jamaa alifura akawa kama mbogo na hapo ndipo zogo kuu lilipoanza

MUME:Watu gani hao watakaokuambia unachupi moje, inamaana unawaonyesha kitumbua changu? Leo utanambia'
Ungekuwa wewe ungefanya nini?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Nyerere (Guest) on July 14, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 25, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on May 20, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on May 19, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on April 25, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on February 16, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 1, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Chum (Guest) on January 12, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Robert Ndunguru (Guest) on January 1, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nchi (Guest) on December 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Karani (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shabani (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 16, 2023

😊🀣πŸ”₯

Frank Sokoine (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Frank Sokoine (Guest) on November 2, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lydia Wanyama (Guest) on October 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Tambwe (Guest) on September 13, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anna Mchome (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on September 6, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Juma (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Shabani (Guest) on July 13, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on May 9, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

George Ndungu (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kenneth Murithi (Guest) on April 7, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Nkya (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Amukowa (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on February 8, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Victor Sokoine (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

James Kimani (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Malisa (Guest) on January 22, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Kikwete (Guest) on December 26, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on December 13, 2022

Asante Ackyshine

Richard Mulwa (Guest) on October 23, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on October 12, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on October 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on October 6, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Shani (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Victor Kamau (Guest) on September 12, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on August 7, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on August 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nuru (Guest) on July 8, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Fatuma (Guest) on June 8, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Njeri (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on April 23, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Kibwana (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 7, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Hassan (Guest) on February 22, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samson Tibaijuka (Guest) on February 20, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on February 8, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More