Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on June 14, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Njeri (Guest) on March 3, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on December 10, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

James Kimani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on November 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Baraka (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on September 23, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Said (Guest) on August 14, 2023

Mzee kawawezaπŸ˜€

Lydia Wanyama (Guest) on July 28, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Nuru (Guest) on July 17, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Waithera (Guest) on June 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on June 1, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Omar (Guest) on April 17, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on December 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on November 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 1, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on October 30, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jackson Makori (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on September 3, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on June 11, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwafirika (Guest) on June 8, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Omar (Guest) on June 1, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Charles Mrope (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Diana Mumbua (Guest) on March 23, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mrope (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on January 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 24, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More