Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on May 14, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on April 27, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 9, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Nancy Akumu (Guest) on March 27, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Linda Karimi (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Malima (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on January 19, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on January 1, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on December 3, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on November 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on November 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on October 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on October 17, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on September 6, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Akech (Guest) on August 24, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on August 2, 2016

🀣πŸ”₯😊

David Ochieng (Guest) on August 2, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Ruth Kibona (Guest) on May 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Tabu (Guest) on January 31, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Tenga (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on January 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nassor (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 22, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 3, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fikiri (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Hawa (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 3, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Hekima (Guest) on August 30, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 12, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nchi (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on June 12, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on May 28, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on May 17, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mary Mrope (Guest) on May 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More