Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daudi (Guest) on September 25, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwajuma (Guest) on July 16, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthoni (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Stephen Amollo (Guest) on May 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on May 3, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Shabani (Guest) on March 27, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on February 19, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 13, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ahmed (Guest) on January 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kawawa (Guest) on November 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mustafa (Guest) on November 12, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Yahya (Guest) on September 17, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 15, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mariam Kawawa (Guest) on June 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Amina (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on June 9, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on May 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 30, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 23, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 18, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 7, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 7, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 15, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on February 20, 2016

Asante Ackyshine

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Wande (Guest) on December 20, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on November 21, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Ndungu (Guest) on November 17, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on October 17, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mashaka (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on September 10, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on September 8, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Bernard Oduor (Guest) on August 17, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 13, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Tabitha Okumu (Guest) on July 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on July 15, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 6, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on June 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 20, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Yusra (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on April 4, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More