Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nyamweya (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Guest (Guest) on November 9, 2025

abu misemo
mama wakambo simama mana akikaa ndo utasema mama wakambo siurale

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU sido misemo
usiombe siku mpenziwako agombane nampenziwake

Guest (Guest) on October 14, 2025

"mala paaa tunaenda "mbinguni alafu tunaambiwa " sadaka
"ulizokua unatoa
"duniani ndo
matumizi yako uku
mbinguni mh
haki yamungu kunawengine tutakua omba omba jamani tutoweni sadaka
abu apa 0681305278

Guest (Guest) on October 7, 2025

"TANGAZO TANGAZO masika imefika "kwawalewote wanaotaka kupanda ndege lengi loizi loizi " "mabasi pg 0683015278 mbegu zake ninazo NIABU APA MTOTO WAMIKIDADI SAIDI BY

Guest (Guest) on October 17, 2025

OK

Guest (Guest) on October 7, 2025

kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho nao unamwishowake

Guest (Guest) on October 8, 2025

kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho pia unamwishowake hata boss pia anaboss wake hatami abu mikidadi naishi2 ila namwishowangu

Guest (Guest) on August 9, 2025

MISEMO

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on October 8, 2025

acha kazi uwone kazi inavokua kazi kupata kazi


ABU AP 0681305278

Guest (Guest) on October 7, 2025

ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua (ABU)(mikidadi)apa

Guest (Guest) on October 7, 2025

ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua

Guest (Guest) on August 20, 2025

Dah: mnachekesha kweli ety

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU MAHEMBE KGM TZ SIDO SAMIRU SIDO KGM TZ MISEMO ITAKAYO KUACHA HOI NAKICHEKO
.
"%mtoto kaambiwa %nababayake hongera mwanangu umemariza chuo kikuu chagua zawadi yoyote uwipendayo dg akajibu "naomba hela nikamuowe bibi mana kila siku ananita mmewake " baba akajibu mshenzi mkubwa wewe %huwezi kumuowa yule nimamayangu mzazi %dg akajibu mbona wewe umemuowa mamayangu mzazi sijasema kitu kumbe inaumaee kama nivo nenda kwamayako namimi nibaki namamayangu kilamtu abaki namayake ungekuwa niwewe ungemjibu nini huyu dg hahahahahahahahaha

Guest (Guest) on October 8, 2025

ya ni abu apa kutoka sido nilikua naomb mniunge namimi niwe natupia misemo watu walike

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU MAHEMBE KGM TZ
HIi NIKWA MABEST Frend wote
HΒ£LO BΒ£ST Frend
WAMBIΒ£ SISI NIMABEST FRENDI
WATASEMA SANA SISI BADOTUPO TΒ£NA TUPOSANA HAWAJUI KAMA MANENO YAO NDO TAMBIKORA YANAZIDI KUKORΒ£ZA URAFIKIWE TENA WAKAZANE

Guest (Guest) on August 15, 2025

Balaaaa

Wande (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Guest (Guest) on October 11, 2025

"ofa ofa
"kwanzia kesho "nakuendea selekar
"imeluhusu wavuta bangi wote mvutie bangi hazala vituo vya polic kambi zajexhi maeneo yaikulu kote ukwo bangi inukie kama pilau

hahahahaha kitakacho wakuta zawad milini 5
abu

Guest (Guest) on October 8, 2025

"sikumoja PADR na sister "waliwa "wakifanya "mapenzi chini yamti "kumbe juu " yaule mtii palikua "na mvuta bangi "walipomaliza "sister akauliza ulitumia kinga "PADR hapana " sistel sasa itakuaje nikipata mimba "PADRI akajibu "yote tumuachie aliejuu "yule mvuta bang akajua niyeye akajibu kwasaut pumbavu yani mapenzi mfanye nyie mimba mniachie mimi PADRI na sister inamana yote tuliyofanya apa umena aaaaaaaaa? hahahahaha STOR imetoka kwangu abu wamiki apa by

Guest (Guest) on September 22, 2025

Hahahaha mnanikumbuxha enzi zang

Guest (Guest) on August 20, 2025

Zote kali

Guest (Guest) on October 8, 2025

"unasema beby wako "anakupenda sasa fanya "ivi chukua gunia la hela "nawewe mkae apo "alafu umwambie beby "chagu kitu ukipendacho "kati yaiili gunia lahela namimi alafu "tuone ABU APA niulize mimi nambayangu iyapa0681305278

John Mwangi (Guest) on July 7, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Guest (Guest) on October 8, 2025

niungen

Fredrick Mutiso (Guest) on July 5, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on April 27, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumari (Guest) on April 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on March 24, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on March 13, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Sarah Karani (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on February 20, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on February 8, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Guest (Guest) on October 3, 2025

Nilikuwa nahalisha ila kwa hii nahisi nimepona

Esther Nyambura (Guest) on January 25, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on November 11, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on November 11, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 20, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Guest (Guest) on October 8, 2025

woyooooo!Β‘!Β‘ hello "kile *.kidada.*kinachosemaga"*.saliolako.*halitoshi*.* "*kupg.*sm.*hiii.*sikimefukuzwa kazi
"*et kisa namama.*samia .*alipg .*kikamwambia salio lake "halitoshi kupg cm "kwahiosasa iv kupg nibuleeee!Β‘kabisa kamahauwamini

nipgie0681305878 ABU APA BY SIDO BILA KUMSAHAU SAMIRU SIDO NAYASIN

Paul Kamau (Guest) on September 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on August 12, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More