Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shamsa (Guest) on August 12, 2017

Asante Ackyshine

Mary Kidata (Guest) on August 6, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on July 27, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on July 24, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Benjamin Kibicho (Guest) on July 7, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Omari (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Henry Sokoine (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on March 21, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on February 28, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Maimuna (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Brian Karanja (Guest) on February 11, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Selemani (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Francis Mtangi (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mashaka (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Sokoine (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on October 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on September 7, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on August 1, 2016

😊🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on July 26, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Frank Macha (Guest) on June 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on May 24, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamim (Guest) on May 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Wafula (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on April 25, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on April 11, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on December 17, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on November 19, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Minja (Guest) on November 11, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mhina (Guest) on October 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Michael Onyango (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Nyota (Guest) on October 2, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on September 27, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Lowassa (Guest) on September 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

John Lissu (Guest) on September 7, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

David Ochieng (Guest) on August 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on August 8, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on July 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Mushi (Guest) on July 1, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on June 15, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nancy Kawawa (Guest) on May 11, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 29, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More