Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hashim (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jane Muthui (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on April 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Njeri (Guest) on February 27, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on February 19, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on February 18, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on January 30, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on November 20, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamal (Guest) on September 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Anthony Kariuki (Guest) on September 12, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Mjaka (Guest) on August 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joseph Kitine (Guest) on August 6, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 14, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 9, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Wairimu (Guest) on April 17, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 8, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Richard Mulwa (Guest) on April 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 24, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on March 8, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Omari (Guest) on March 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Omar (Guest) on February 14, 2023

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on February 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nassor (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Daudi (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Lowassa (Guest) on November 20, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Issack (Guest) on October 27, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Muslima (Guest) on October 26, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Victor Kimario (Guest) on October 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on October 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on May 15, 2022

😊🀣πŸ”₯

Linda Karimi (Guest) on April 2, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Yusuf (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Thomas Mtaki (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More