Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Maulid (Guest) on August 20, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on July 29, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Wanjiru (Guest) on June 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on June 5, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Majid (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 3, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rose Lowassa (Guest) on April 5, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jafari (Guest) on April 4, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Josephine Nduta (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on March 19, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zainab (Guest) on February 28, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on February 6, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on January 14, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on December 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 13, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Kawawa (Guest) on November 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on October 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mbise (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sharifa (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Lissu (Guest) on September 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on September 5, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on August 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on July 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Chiku (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on June 14, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 6, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Khadija (Guest) on May 27, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on May 25, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 17, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on April 23, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on April 16, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Alex Nakitare (Guest) on March 12, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 21, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on February 21, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwinyi (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Edward Chepkoech (Guest) on January 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Agnes Lowassa (Guest) on November 29, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on November 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on November 1, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nassor (Guest) on October 5, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on September 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on September 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Njeru (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mugendi (Guest) on July 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 8, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More