Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Mallya (Guest) on February 25, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 21, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on January 2, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on December 29, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Sumari (Guest) on December 22, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jamila (Guest) on December 17, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mushi (Guest) on December 2, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lydia Mutheu (Guest) on October 20, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on October 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Shabani (Guest) on September 20, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on September 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on August 29, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Moses Mwita (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on April 3, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rehema (Guest) on March 22, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Mtangi (Guest) on March 21, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on March 16, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on February 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Selemani (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on November 28, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on November 28, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Patrick Mutua (Guest) on November 17, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on October 19, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Janet Sumaye (Guest) on October 4, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 30, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Kibona (Guest) on August 14, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 9, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on July 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on July 15, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on May 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ali (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 9, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on April 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Selemani (Guest) on March 26, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Ochieng (Guest) on March 1, 2018

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on February 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 8, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jackson Makori (Guest) on January 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Njeri (Guest) on December 23, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Mwangi (Guest) on October 11, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More