Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Wangui (Guest) on January 1, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on December 29, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 25, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on October 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on October 24, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rukia (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on August 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on August 30, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on July 18, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 29, 2019

😊🀣πŸ”₯

Alice Mwikali (Guest) on June 23, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Alex Nakitare (Guest) on May 23, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Bernard Oduor (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jane Muthui (Guest) on March 2, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on February 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Mallya (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samson Mahiga (Guest) on January 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on December 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on November 29, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 10, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on September 28, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on August 21, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 29, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on June 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mjaka (Guest) on June 22, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Chacha (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on March 30, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Frank Macha (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on March 10, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shani (Guest) on February 17, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Raphael Okoth (Guest) on January 11, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on December 30, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Kimani (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elijah Mutua (Guest) on December 17, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on November 26, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on November 19, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chum (Guest) on November 19, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Thomas Mtaki (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

James Kimani (Guest) on November 9, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on October 20, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on October 9, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on September 17, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Monica Adhiambo (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 21, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More