Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Mwikali (Guest) on February 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on November 28, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nassor (Guest) on November 13, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mohamed (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 19, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 16, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Philip Nyaga (Guest) on July 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Kikwete (Guest) on June 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on June 12, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Mahiga (Guest) on June 3, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on May 19, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mustafa (Guest) on April 26, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on February 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on January 9, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 24, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Susan Wangari (Guest) on October 19, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Kamande (Guest) on October 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Wanjiru (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 29, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on September 4, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on September 1, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on August 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 27, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Kidata (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 13, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on June 2, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Raphael Okoth (Guest) on April 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarafina (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Akumu (Guest) on March 6, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on February 29, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Salma (Guest) on February 9, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on February 8, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on January 10, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baridi (Guest) on December 26, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Paul Ndomba (Guest) on December 26, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on December 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on December 1, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Wambura (Guest) on October 21, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on October 15, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jamal (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More