Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine (Guest) on July 20, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zulekha (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 9, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine Nduta (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on June 25, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 1, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mahiga (Guest) on May 29, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on March 28, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 31, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on January 26, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Okello (Guest) on October 29, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on March 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 27, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Nyota (Guest) on February 16, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on October 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwanakhamis (Guest) on June 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on June 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Nyerere (Guest) on June 6, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on May 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on May 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tambwe (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Wanyama (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Raha (Guest) on March 23, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rabia (Guest) on March 16, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Warda (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Halima (Guest) on February 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kitine (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 28, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on December 24, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on December 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More