Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on September 18, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mzee (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Wangui (Guest) on September 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joy Wacera (Guest) on August 31, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Mwangi (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 2, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Halimah (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Sokoine (Guest) on June 24, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Biashara (Guest) on June 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on April 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam Hassan (Guest) on March 27, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on February 1, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on January 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on December 6, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Miriam Mchome (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Mushi (Guest) on November 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 14, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on October 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on August 4, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on June 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on June 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on May 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 23, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Carol Nyakio (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nyota (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 18, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Njeri (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Njeri (Guest) on March 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 20, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on February 7, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Adhiambo (Guest) on January 5, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Elizabeth Malima (Guest) on December 27, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 8, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sekela (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 24, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Khatib (Guest) on August 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More