Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zuhura (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Sumari (Guest) on June 6, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on June 6, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on May 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Issa (Guest) on May 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edith Cherotich (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on March 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on March 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on March 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on March 7, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on January 11, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on January 5, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on January 3, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 4, 2021

🀣πŸ”₯😊

Ruth Wanjiku (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on November 8, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on October 27, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Binti (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Ochieng (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Charles Mrope (Guest) on September 11, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nchi (Guest) on September 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on May 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on January 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shabani (Guest) on January 29, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Susan Wangari (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Chris Okello (Guest) on November 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Asha (Guest) on September 27, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on September 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on September 11, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 27, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 25, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on July 25, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joyce Aoko (Guest) on June 5, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 8, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mrope (Guest) on May 3, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 24, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on April 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on March 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Farida (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Ann Wambui (Guest) on January 7, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ibrahim (Guest) on December 28, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Related Posts

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More