Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on September 29, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Salima (Guest) on September 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on September 8, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on August 22, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on August 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 25, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amina (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

John Malisa (Guest) on June 30, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on June 24, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on June 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 18, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 18, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 15, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Majid (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Chacha (Guest) on February 22, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Mchome (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Sokoine (Guest) on January 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 18, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 10, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 2, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 3, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Alice Mrema (Guest) on April 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Abubakar (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Athumani (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Wilson Ombati (Guest) on April 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwakisu (Guest) on April 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on February 24, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 25, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on November 29, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 26, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on November 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Makena (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More