Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nyota (Guest) on May 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Wangui (Guest) on April 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anna Mahiga (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on March 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Miriam Mchome (Guest) on February 19, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joy Wacera (Guest) on January 19, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on January 11, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine Nduta (Guest) on November 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on October 25, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Juma (Guest) on October 23, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on October 10, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Carol Nyakio (Guest) on July 5, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on June 26, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Karani (Guest) on June 6, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Khadija (Guest) on June 2, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Sokoine (Guest) on May 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on May 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on March 23, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on February 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Peter Mbise (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Wanyama (Guest) on January 1, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Violet Mumo (Guest) on December 31, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on December 19, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Azima (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on December 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on November 17, 2020

Asante Ackyshine

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ali (Guest) on November 6, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 7, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Wanjala (Guest) on August 29, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 13, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 6, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on June 22, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on May 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nassar (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More