Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on July 3, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Nyerere (Guest) on June 8, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 27, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on May 21, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kihele hele "chakumpenda "mpangaji mwenzangu "
*ona leo nalipa kodi "malambili
"(ABU)SIDO)SAMIRU)SIDO

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jonath (Guest) on April 20, 2024

Good

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kumbe mungu alifanya "vema watu kufa "isgekua kufa sijui tungekula nini mana duni ingejaa "watu ABU APA wamiki sido

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on April 20, 2024

Inafurahisha na kutafakarisha

Samson Mahiga (Guest) on April 20, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 30, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on January 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Guest (Guest) on November 14, 2025

VICHEKESHO

Elizabeth Mrope (Guest) on November 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 29, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on August 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Farida (Guest) on July 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salum (Guest) on July 30, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on June 30, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on May 22, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nuru (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on April 10, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kheri (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mchawi (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nancy Komba (Guest) on January 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Maimuna (Guest) on January 8, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 16, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on November 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Kamau (Guest) on October 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Neema (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on August 8, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Makame (Guest) on August 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Wanjala (Guest) on August 2, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on July 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 16, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mushi (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on April 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More