Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

๐Ÿ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

๐Ÿ˜† Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

๐Ÿ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

๐Ÿ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

๐Ÿ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Aziza (Guest) on February 22, 2023

๐Ÿ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! ๐Ÿ˜„

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

๐Ÿ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜„

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐Ÿ’ฐ

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Habiba (Guest) on July 31, 2022

๐Ÿ˜„ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Nyota (Guest) on June 30, 2022

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…

Related Posts

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA ๐Ÿ™‡๐Ÿผ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVI๐Ÿ‘Œ๐Ÿป WAAFRIKA HATUYAJUI ๐Ÿ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangiโ€ฆ kiberiti kikawaishiaโ€ฆ wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More