VIAMBAUPISHI
Unga wa ngano 1 1/2 Kikombe
Baking powder 1 Kijiko cha chai
Baking soda ¼ Kijiko cha chai
Chumvi ½ kijiko cha chai
Sukari 1 kijiko cha supu
Hamira 1/2 Kijiko cha supu
Yai 1
Maziwa ½ Kikombe
Mafuta ya kukaangia
VIAMBAUPISHI:SHIRA
Sukari 1 Kikombe
Maji ½ Kikombe
Iliki au Mdalasini ¼ kijiko cha chai (ya unga)
MAANDALIZI NA JINSI YA KUPIKA
1. Kwenye bakuli, changanya pamoja unga, baking powder, baking soda, chumvi, sukari na hamira.
2. Katika kibakuli, piga mayai na maziwa pamoja.
3. Changanya mchanganyiko wa mayai na wa unga ; na ukande kama unga wa maandazi.
4. Ikisha fura, sukuma unga kama wa maandazi na ukate mitai .
5. Pasha moto mafuta na uchome hadi iwe rangi ya dhahabu, upande zote mbili.
6. Ipikie shira lakini isiwe nzito .
7. Tia mitai na upepete hadi sukari ienee kote na zitakuwa tayari kuliwa.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kujifunza Misingi ya Upishi Bora kwa Afya Yako
LISHE BORA KWA WATU WENYE AFYA NZURI
Jinsi ya kupika kisamvu bila nazi
Mapishi ya Biriani Nyepesi Kupika Ya Samaki
Mawazo ya Chakula cha Usiku cha Dakika 20 kwa Familia Yote
Jinsi ya kupika Eggchop
Mapishi ya Biriani la nyama ya ng’ombe
Jinsi ya kupika Biskuti Za Tende Na Ufuta