MAHITAJI
Unga kikombe 1 ½
Siagi ½ kikombe
Sukari ½ kikombe
Yai 1
Vanilla 1 kijiko cha chai
Jam ya peach na raspberry
MAANDALIZI
Wash oven moto wa takriban 180 – 190 Deg F
Piga siagi na sukari katika mashine mpaka iwe laini na nyororo (creamy) kisha weka yai na vanilla.
Tia unga kidogo kidogo uchanganye kwa mwiko wa mbao (wooden spoon).
Pakaza mkononi unga uchukue vidonge ubonyeze kufanya vishimo vya kuwekea jam.
Panga katika treya uliyopakaza siagi.
Tia nusu yake jam ya peach na nusu jam ya raspberry
Bake katika oven kiasi robo saa mpaka ziwive na kugeuka rangi ya brown light.
Epua vikiwa tayari
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Mapishi ya Wali Wa Karoti Na Kuku Wa Kukaanga
Mapishi ya Biriyani Ya Kuku
Mapishi ya Bokoboko La Kuku
Jinsi ya kupika Baklawa Za Pistachio Na Lozi
Mapishi ya Maini ya ng’ombe
Jinsi ya kupika mboga ya majani ya mashona nguo
Jinsi ya kupika Biriyani Ya Nyama Ng’ombe
Mapishi ya Mseto wa choroko