Maharagwe yanapandwa kwenye kabichi yanafanya kazi zifuatazo;
Kudhibiti wadudu (mtego).
Maharage yanaweza kupandwa kati ya mistari ya kabichi yakiwa kama mitego kwani yanasaidia kulinda kabichi dhidi ya buibui wekundu.
Kuboresha udongo.
Maharagwe yanaongeza nitrojeni kwenye udongo
Chakula cha mifugo.
Maharagwe yanaweza kutumika kulishia mifugo kama ng’ombe mbuzi na kondoo.
Matandazo.
Maharage yanaweza yakatumika kama matandazo kwenye shamba kusaidia kulinda unyevu.
Kutengenezea mbolea.
Maharagwe yakioza yanaweza kuwa mbolea nzuri ya shamba lako
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 0
Recommended Posts
Siri ya kilimo cha nyanya kwa faida
Jinsi ya kutunza nyumba ya kuku ili kuzuia magonjwa
Jinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
Jinsi ya kutengeneza mbolea ya maji ya kunyunyiza kwenye majani
Jinsi ya kulima mahindi kitaalamu kama inavyotakiwa
Jinsi ya kulima vizuri zao la kabichi