1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE
Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo
Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sauti ya chini sana watu wengine wasiskie,akawa hanijibu kitu,mala gafra akapayuka kwanguvu na kwa sauti ya juu iliyomshtua kila mtu.β
β”Nimesema stakii,stakii tena unikome”βπ³π³
βNami nikamjibu kwa sauti ya juu vile vileβ
β”Kama umejamba nisikwambie bhanaa,kwani ww nani?”ββΉ
πππππππππ
ββMIMI SIO MTU WA MCHEZO MCHEZOβ
Sipendag ujuinga mim
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo
Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje nikimpa sh.30,000/-
Akasema ATAKUFA kwa furaha.Nikaondoka bila kumpa ili ASIFE.ππππ
Duh. mjamzito ana kazi
ππππukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba
Mipango ya mke na mume ya pasaka
Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanisha Nini?
Mume: Nitaondoka ijumaa na Kurudi j3..
Mke: Unanishangaza, kama utafanya hivi nami nitafanya kama Maria..
Mume: Unamaanisha Nini?
Mke: Nitapata mimba bila ya kuingingiliwa na wewe mume wangu..
Mume: π³π³π³
πππππππππ