Maganda ya ndizi ni dawa nyingine nzuri ya kuondoa chunusi. Unachohitaji ni kuwa tu na maganda ya ndizi kwa ajili hii.
Hatua kwa hatua namna ya kutumia dawa hii:
a)Menya ndizi na ule
b)Chukua ganda la ndizi uliyokula na ukandamizekandamize sehemu ya ndani ya ganda hilo sehemu yenye chunusi
c)Subiri kwa dakika 30 kisha jisafishe na maji safi
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa homa ya Dengu (Dengue fever)
Tatizo la maumivu wakati na baada ya kufanya mapenzi
Mbinu 11 za kufuata ili uweze kuacha pombe
Madhara ya dawa za kuulia wadudu maarufu kama viwatilifu
Mambo ya kufanya ili kupona majeraha mapema
Jinsi ya kufanya kupunguza unene wa mwili kwa haraka
Jinsi ya kutibu tatizo la kukosa choo bila kutumia dawa
Magonjwa hatari 10 yanayotibika kwa kutumia mbegu za Maboga