Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka.
Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu.
Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
Kwa jinsi unavyoishi unaweza ukawa chanzo cha Baraka kwa wengine au chanzo cha matatizo na vikwazo kwa wengine.
Vile unavyoweza kuwa Daraja kwa Wengine
Unaweza kuwa daraja au njia ya wengine kupata neema na Baraka katika maisha yao kulingana na matendo yako mema na Ibada yako kwa Mungu.
Kwa ucha Mungu wako, watu wako unaowapenda sana wanaweza kubarikiwa na kupata neema za Mungu Pamoja na wewe. Wale watu unaochangamana nao watabarikiwa kwa sababu na wewe umebarikiwa.
Kwa mfano wewe kama ni mzazi mcha Mungu unaweza ukawa chanzo cha Baraka na neema kwa watoto wako na kwa mwenzi wako wa ndoa. Vivyo hivyo na kwa watoto, mtoto anaweza kuwa chanzo cha Baraka kwa wazazi wake.
Inawezekana kuna Amani katika familia yako kwa sababu tuu wewe ni miongoni mwa wanafamilia hiyo na hivyo Mungu ameachilia Amani katika familia yako kwa sababu tuu wewe upo pale na wewe ni mcha Mungu.
Unaweza kuona sasa wewe ni chanzo cha Baraka kwa wale watu wako wa karibu. Kwa sababu tuu wewe ni mcha Mungu, na wao wanabarikiwa pamoja na wewe. Mungu anapobariki familia yako na wao pia wanabarikiwa.
Kwa hiyo basi, unapolegalega katika ucha Mungu wako unaweza pia kusababisha kulegalega au kikwazo cha Baraka za wengine.
Vile unavyoweza kuwa Kikwazo kwa Wengine
Unaweza kuwa kikwazo au kizuizi cha wengine kupata neema na Baraka katika maisha yao kulingana na matendo yako mabaya na kukosa kwako kumcha Mungu.
Kwa kuacha kumcha Mungu, watu wako unaowapenda sana wanaweza kukosa kubarikiwa na kukosa neema za Mungu kwa sababu wewe unazuia Baraka hizo. Wale watu unaochangamana nao watakosa Baraka kwa sababu umeandikiwa kutokubarikiwa na wanachanganyikana na asiyestahili kubarikiwa.
Kwa mfano wewe kama ni mzazi asiyemcha Mungu unaweza ukasababisha watoto wako wakashindwa kubarikiwa kwa sababu tuu kwa udhambi wako unazuia Baraka kwa familia yako yote wakiwemo watoto wako. Vivyo hivyo na wazazi wanaweza wakashindwa kubarikiwa kwa sababu watoto wao wanawazuilia Baraka zao.
Inawezekana hakuna Amani katika familia yako kwa sababu tuu wewe ni miongoni mwa wanafamilia hiyo. Kunakosekana Amani katika familia yako kwa sababu tuu wewe upo pale na wewe ni mdhambi/ mtu asiyemcha Mungu.
Unaweza kuona sasa wewe ni chanzo cha kukosekana Baraka kwa wale watu wako wa karibu. Kwa sababu tuu wewe ni mtu asiye mcha Mungu, na wao wanazuiliwa baraka pamoja na wewe. Mungu anapoacha kuibariki familia yako na wao pia wanakosa baraka. Kwa mfano unapokosa Amani na Mafanikio ukae ukijua kuwa wale unaowapenda na wanaokutegemea nao watakosa Amani na hawatanufaika kwa sababu hauna mafanikio.
Mwisho
Wewe ni kama Kiungo cha myororo wa Baraka au laana kwa wale uwapendao hasa familia yako. Ukibarikiwa unabarikiwa pamoja nao, ukilaaniwa unalaaniwa pamoja nao.
Kwa sababu hiyo, mara zote chagua kuishi kwa kumcha Mungu kwa sababu huwezi jua ni wangapi walioko nyuma yako na wanaobarikiwa kwa sababu ya ucha Mungu wako.
Mche Mungu kwa juhudi zote kwa sababu hujui ni wangapi wanaonufaika na ucha Mungu wako. Vilevile jitahidi usiwe mdhambi sana kwa sababu huwezi kujua ni wangapi wanaokosa Baraka za Mungu kwa udhambi wako.
Kumcha Mungu kuna faida kwako na kwa wengine, hasa unaowapenda. Kuto kumcha Mungu ni hasara kwako na kwa wale unaowapenda hasa familia yako
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
ASANTE.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Sifa kwa Bwana!
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Sifa kwa Bwana!
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Imani inaweza kusogeza milima
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Rehema zake hudumu milele
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Neema ya Mungu inatosha kwako
Rehema hushinda hukumu
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mwamini Bwana; anajua njia
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Tumaini ni nanga ya roho
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mwamini Bwana; anajua njia
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mungu akubariki!
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Dumu katika Bwana.
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Imani inaweza kusogeza milima
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Neema na amani iwe nawe.
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Nguvu hutoka kwa Bwana
Katika imani, yote yanawezekana
Endelea kuwa na imani!
Mwamini katika mpango wake.
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Mwamini katika mpango wake.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Dumu katika Bwana.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Baraka kwako na familia yako.
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Rehema zake hudumu milele
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Katika imani, yote yanawezekana
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Nakuombea 🙏
Neema ya Mungu inatosha kwako
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Baraka kwako na familia yako.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Tumaini ni nanga ya roho
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Nakuombea 🙏
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Mungu ni mwema, wakati wote!
Neema na amani iwe nawe.
Endelea kuwa na imani!
Mungu akubariki!
Rehema hushinda hukumu
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini