Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniβ€¦πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

236 thoughts on “Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart